Yoweri Museveni (sasa Rais wa Uganda) mkewe Janeth na mtoto wao mwanzoni mwa miaka ya 1970. Picha hii ilipigwa Moshi mkoani Kilimanjaro ambako Museveni alikuwa mwalimu katika Chuo Cha Ushirika Moshi. Museveni alikuwa nchini pamoja na wasomi wengine waliokimbia Uganda baada ya Idd Amin kuipindua serikali ya Milton Obote mwezi Januari mwaka 1971.
_______________________________________________ Ugandanet mailing list Ugandanet@kym.net http://kym.net/mailman/listinfo/ugandanet
UGANDANET is generously hosted by INFOCOM http://www.infocom.co.ug/ All Archives can be found at http://www.mail-archive.com/ugandanet@kym.net/ The above comments and data are owned by whoever posted them (including attachments if any). The List's Host is not responsible for them in any way. ---------------------------------------